![]() |
| Cannavaro wakati wa kufanyiwa upasuaji jana |
Cannavaro jana alishonwa nyuzi tisa baada ya kuumia Jumapili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, dhidi ya mahasimu, Simba SC kufuatia kugongana na kiungo Abdi Banda.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro ameiambia BIN ZUBEIRY leo kwamba Cannavaro baada ya kushonwa nyuzi tisa, benchi la ufundi litafuatilia hali yake kama atakuwa tayari kucheza Jumapili dhidi ya Platinum.



.png)
0 comments:
Post a Comment