// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TORRES AITUPA NJE, REAL MADRID KOMBE LA MFALME, SASA AWAFUATA BARCA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TORRES AITUPA NJE, REAL MADRID KOMBE LA MFALME, SASA AWAFUATA BARCA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, January 16, 2015

    TORRES AITUPA NJE, REAL MADRID KOMBE LA MFALME, SASA AWAFUATA BARCA

    Fernando Torres celebrates opening the scoring for Atletico Madrid after just 49 seconds at the Bernabeu
    Mshambuliaji Fernando Torres akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid baada ya kuifungia mabao mawili katika sare ya 2-2 na Real Madrid Uwanja wa Bernabeu usiku wa jana mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania. Mabao ya Real yalifungwa na Sergio Ramos na Cristiano Ronaldo.  Atletico sasa itamenyana na Barcelona katika Robo Fainali.Torres enjoyed a slice of good fortune as goalkeeper Keylor Navas deflected the ball into the net for his second goal
    Torres akimtungua Keylor Navas usiku wa jana. Atletico imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-2 baada ya awali kushinda 2-0 nyumbani.

    PICHA ZAIDI ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2912261/Real-Madrid-2-2-Atletico-Madrid-agg-2-4-Fernando-Torres-scores-twice-upstage-Ballon-d-winner-Cristiano-Ronaldo-set-Barcelona-

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TORRES AITUPA NJE, REAL MADRID KOMBE LA MFALME, SASA AWAFUATA BARCA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top