![]() |
Kocha wa Taifa Stars, Mholanzi Mart Nooij (katikati) akitoa maelekezo kwa wachezaji wake leo Kirumba |
![]() |
Beki Mohammed Hussein 'Tshabalala' kulia akitafuta maarifa ya kumpita kiungo Salum Telela katika mazoezi ya Stars Maboresho leo |
![]() |
Kocha Nooij akiongoza mazoezi CCM Kirumba |
![]() |
Viungo Simon Msuva (kulia) na Said Ndemla kushoto |
![]() |
Beki Joram Mgeveke akipiga mpira mazoezini |
0 comments:
Post a Comment