// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MSUVA ALIPOGEUKA DAKTARI WA SHABA JANA AMAAN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MSUVA ALIPOGEUKA DAKTARI WA SHABA JANA AMAAN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, January 07, 2015

    MSUVA ALIPOGEUKA DAKTARI WA SHABA JANA AMAAN

    Winga wa Yanga SC, Simon Msuva (kulia) akimfunga bandeji kipa wa Shaba, Bakari Shaweji (kushoto) mwishoni mwa kipindi cha pili kwenye mchezo wa jana wa Kundi A, Kombe la Mapinduzi Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Wakati huo timu hizo zilikuwa hazijafungana na kipa huyo alikuwa anafanya hila za kupoteza muda, ndiyo maana mchezaji huyo wa Yanga SC akajitolea kumfunga bandeji mchezo uendelee haraka. Yanga ilipata bao dakika ya 86 na kushinda 1-0.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSUVA ALIPOGEUKA DAKTARI WA SHABA JANA AMAAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top