// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MESSI: NITAONDOKA BARCELONA , SIJUI NITAHAMIA WAPI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MESSI: NITAONDOKA BARCELONA , SIJUI NITAHAMIA WAPI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, January 13, 2015

    MESSI: NITAONDOKA BARCELONA , SIJUI NITAHAMIA WAPI

    KWA mara nyingine Lionel Messi amezua shaka juu ya mustakabali wake katika klabu ya Barcelona kwa kusema kwamba hafahamu msimu ujao atacheza wapi.
    Nyota huyo wa Argentina alikanusha uvumi kwamba atajiunga na klabu ya Ligi Kuu ya England baada ya Barcelona kushinda mabao 3-1 dhidi ya Atletico Madrid Jumapili. 
    Pamoja na hayo, mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 alipuuzia mazungumzo kuhusu kuhamia Chelsea, baada ya kumtaja kocha wa Blues, Jose Mourinho kama chaguo lake la tatu katika tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka wa FIFA.
    Messi has cast doubt over his Barcelona future, admitting 'I don't know where I'll be next year'
    Messi amezua hofu juu ya mustakabali wake Barcelona baada ya kusema hajui mwakani atakuwa wapi

    Akimuweka Mourinho nyuma ya kocha wa Argentina, Alejandro Sabella, ambaye alkijiuzulu baada ya Kombe la Dunia, na kocha wa zamani wa Barcelona, Pep Guardiola, Messi alisema; "Mourinho ni kocha mkubwa. Hata umpende au hapana, unatakiwa kukiri kwamba ni kocha mkubwa,".
    Katika Mkutano na Waandishi wa Habari jana kabla ya Ballon d’Or mjini Zurich jana, Messi alisema kwamba anaweza kucheza sehemu nyingine mwishoni mwa mwaka.
    Messi fuelled talk of a move to Chelsea after naming Blues boss Jose Mourinho as his third choice for the FIFA Coach of the Year award
    Messi looks on during Monday night's ceremony in Zurich

    Messi kulia amekataa kuzungumzia kuhusu kuhamia Chelsea, baada ya kumpendekeza kocha wa Blues, Jose Mourinho kama chaguo la tatu katika tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka wa Dunia wa FIFA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI: NITAONDOKA BARCELONA , SIJUI NITAHAMIA WAPI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top