• HABARI MPYA

    Thursday, January 01, 2015

    MCUBA ATETEA MATAJI YA WBO NA WBA OSAKA

    BONDIA Guillermo Rigondeaux amefanikiwa kutetea mataji yake ya dunia mjini Osaka baada ya Hisashi Amagasa kujiuzulu kwenye kona yake mwishoni mwa raundi ya 11.
    Mbabe huyo wa Cuba, anayeshikilia mataji ya WBO na WBA uzito wa Super-Bantam, aliangushwa chini mara mbili katika raundi ya saba, lakini akazinduka na kutawala pambano.
    Amagasa aliangushwa raundi ya tisa na sura yake ilikuwa 'nyang'anyang'a' wakati anaamua kutorudi kumalizia raundi ya mwisho.
    Guillermo Rigondeaux (left) is congratulated by Hisashi Amagasa after his win in Osaka. The Cuban claimed victory and retained his WBO and WBA belts after the Japanese fighter retired at the end of the 11th round
    Guillermo Rigondeaux (kushoto) akipongezwa na Hisashi Amagasa baada ya ushindi wake mjini Osaka. 
    Rigondeaux doles out the punishment to Amagasa during the fight in Osaka, Japan 
    Rigondeaux akimuadhibu Amagasa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MCUBA ATETEA MATAJI YA WBO NA WBA OSAKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top