// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KIKOSI BORA ULAYA, MESSI, RONALDO NDANI HAKUNA MUINGEREZA HATA MMOJA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KIKOSI BORA ULAYA, MESSI, RONALDO NDANI HAKUNA MUINGEREZA HATA MMOJA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, January 09, 2015

    KIKOSI BORA ULAYA, MESSI, RONALDO NDANI HAKUNA MUINGEREZA HATA MMOJA

    TIMU ya Bayern Munich imeingiza wachezaji wanne katika kikosi cha timu ya UEFA ya Mwaka  2014 huku wachezaji wale wale wakitawala kwenye kikosi, ingawa hakuna Muingereza hata mmoja.
    Wachezaji 11 walipitiwa kura na mashabiki zaidi ya Milioni 8.6 baada ya mwaka ambao Real Madrid ilitwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
    Cristiano Ronaldo na Sergio Ramos wameingia kwenye timu hiyo, wakati Angel di Maria, mchezaji bora wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa akiiwezesha Real kutwaa Kombe, ni mchezaji pekee anayecheza Ligi Kuu ya England kwa sasa aliyeteuliwa kwenye kikosi hicho.
    Real Madrid players celebrate winning the Champions League through the city after beating Atletico in May
    Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuifunga Atletico Mei mwaka jana
    The full XI from the UEFA team of the year, voted for by 8.6million fans
    Kikosi kamili cha wachezaji 11 wa timu ya Mwaka 2014 ya UEFAkilichopigiwa kura na mashabiki Milioni 8.6
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKOSI BORA ULAYA, MESSI, RONALDO NDANI HAKUNA MUINGEREZA HATA MMOJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top