Yanga B imeshindwa kuwatilia
baraka kaka zao, kuelekea mchezo wa jioni, baada ya kuwaruhusu mabingwa wa
Kombe la BancABC Sup8R, Simba B, inayofundishwa na Suleiman Matola, akisaidiwa
na Amri Said kutoka nyuma kwa mabao 2-0 na kupata sare ya 2-2. Mabao ya Yanga B
inayofundishwa na kocha wake, Salvatory Edward akisaidiwa na Abubakar Salum yamefungwa
na Kelvin Nkini kipindei cha kwanza na Notikel Masasi kipindi cha pili, wakati
ya Simba yalifungwa na Miraj Athumani na Omar Salum dakika za lala salama.
Nottingham Forest among list of clubs targeting Chelsea's Liam Delap, Leeds
keeper Lucas Perri set for Torino deal after James Trafford comes in... and
Ajax want return for West Ham's Edson Alvarez: WINDOW WATCH
-
The transfer window is now open until September 1 and it's sure to be a
busy period with clubs looking to make big signings ahead of next season.
Here are ...
10 minutes ago











.png)
0 comments:
Post a Comment