Yanga B imeshindwa kuwatilia
baraka kaka zao, kuelekea mchezo wa jioni, baada ya kuwaruhusu mabingwa wa
Kombe la BancABC Sup8R, Simba B, inayofundishwa na Suleiman Matola, akisaidiwa
na Amri Said kutoka nyuma kwa mabao 2-0 na kupata sare ya 2-2. Mabao ya Yanga B
inayofundishwa na kocha wake, Salvatory Edward akisaidiwa na Abubakar Salum yamefungwa
na Kelvin Nkini kipindei cha kwanza na Notikel Masasi kipindi cha pili, wakati
ya Simba yalifungwa na Miraj Athumani na Omar Salum dakika za lala salama.
Paul Scholes tears into Michael Carrick and calls Man United 'c**p' under
him in remarkable attack after his first defeat in eight games - despite
playing together 160 times
-
United were beaten 2-1 by Newcastle after William Osula's stunning
90th-minute winner at St James' Park, where Carrick grew up watching
football.
57 minutes ago











.png)
0 comments:
Post a Comment