Philippe Coutinho akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 57 na 61 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Ham Uwanja wa London leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Daniel Sturridge dakika ya 35 na Divock Origi dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester promoted to Premier League after Leeds lose
-
Leicester City are promoted back to the Premier League after Leeds United
are beaten at QPR.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment