Kiungo Mkenya, Victor Wanyama akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Tottenham Hotspur dakika ya sita katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester United leo Uwanja wa White Hart Lane kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili limefungwa na Harry Kane dakika ya 48 na la Mashetani Wekundu limefungwa na Wayne Rooney dakika ya 71 Spurs wakihitimisha kuutumia Uwanja huo baada ya 118. Spurs watahamia kwenye Uwanja wa Wembley msimu ujao kupisha ukarabati kwenye White Hart Laje hadi Agosti 2018
PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment