Mesut Ozil akipongezwa na Olivier Giroud, Hector Bellerin na Nacho Monreal baada ya kufunga bao la pili dakika ya 55 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Stoke City Uwanja wa Bet365 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo, Giroud alifunga mabao mawili dakika za 42 na 80 na lingine Alexis Sanchez dakika ya 76 wakati la wenyeji limefungwa na Peter Crouch dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Faninfos für das Auswärtsspiel in Leipzig
-
Am Samstag (27.04.) spielt Borussia Dortmund um 15:30 Uhr in Leipzig. Rund
4.700 Fans aus Dortmund werden den BVB unterstützen. Wir haben für alle
mitreise...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment