Mshambuliaji kinda wa miaka 20, Mbrazil, Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 36 ikiwalaza Leicester City 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao lingine la City limefungwa na David Silva dakika ya 29 wakati la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WNBA's Brittney Griner: 'I Wanted to Take My Life More Than Once' in
Russian Jail
-
WNBA All-Star Brittney Griner said she contemplated suicide during her stay
in a Russian prison. "I wanted to take my life more than once in the first
week...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment