Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji akiwasili makao ya jeshi la Polisi, katikati ya Jiji la Dar es Salaam leo kwa ajili ya kuhojiwa kufuatia kutajwa katika orodha ya watu 65 wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alitaja orodha hiyo jana na akawataka waliotajwa wote kufika kituo kikuu cha Polisi Dar es Salaam kesho Saa 5:00 asubuhi. Lakini Manji amejiamulia kwenda leo na haijajulikana kama atahojiwa au la
Cowboys Rumors: Latest on Ezekiel Elliott Contract Talks After Missing on
RB Brooks
-
The Dallas Cowboys lost Tony Pollard in free agency and watched as the
Carolina Panthers traded up in the second round to take the top running
back on the…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment