Winga wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu leo. Bao la kwanza la Real lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33. Bale alikuwa anacheza kwa mara ya kwanza leo baada ya kurejea kufuatia kuwa nje ya Uwanja kwa miezi mitatu kwa maumivu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kool-Aid Mckinstry NFL Draft 2024: Scouting Report for New Orleans Saints CB
-
HEIGHT: 6'0" WEIGHT: 199 HAND: 8½" ARM: 32" WINGSPAN: 75⅞" 40-YARD DASH:
N/A 3-CONE: N/A SHUTTLE: N/A VERTICAL: N/A BROAD: N/A POSITIVES —
Long-armed defen...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment