Wachezaji wa Chelsea, Cesar Azpilicueta, Pedro and Victor Moses wakishangilia na Marcos Alonso baada ya kuifungia The Blues bao la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Edin Hazard dakika ya 53 na Cesc Fabregas dakika ya 86 wakati la Arsenal limefungwa na Olivier Giroud dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Deebo Trade 'More Likely' Than Brandon Aiyuk After 49ers Draft
Pearsall
-
Amid rumors that they will trade one of their star wide receivers, the San
Francisco 49ers drafted wide receiver Ricky Pearsall in the first round of
the NFL…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment