Kiungo wa Bayern Munich, Thiago akiwaongoza wenzake kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 56 na 63 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Arsenal usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Arjen Robben dakika ya 11, Robert Lewandowski dakika ya 53 na Thomas Muller dakika ya 88, wakati la Arsenal lilifungwa na Alexis Sanchez dakika ya 30, ambaye pia alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The NEW hardest puncher in the world! Ex-World's Strongest Man winner Eddie
Hall breaks UFC star Alex Pereira's record on power-measuring machine
-
Former World's Strongest Man Eddie Hall has smashed the record for the
hardest punch ever, just two weeks after UFC star Alex Pereira set the last
benchmark.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment