Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akifanya mazoezi kwa bidii baada ya kujiunga na timu yake hiyo leo kufuatia mapumziko marefu zaidi aliyopewa tofauti na wenzake baada ya kuwa amekwenda kuiongoza timu yake ya taifa, Chile kwenye michuano ya Kombe la Mabara Juni mwaka huu, ambako ilishika nafasi ya pili baada ya kufungwa 1-0 na Ujerumani katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys' Jerry Jones Discusses Not Drafting RB Amid Ezekiel Elliott Rumors
-
Dallas Cowboys owner Jerry Jones knows his team still needs a starting
running back, but he does not seem to be fretting the situation. Jones
addressed the…
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment