Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao pili Real Madrid dakika ya 80 kufuatia kuingia akitokea benchi kipindi cha pili timu yake ikishinda 3-1 dhidi ya wenyeji, Barcelona Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa kwanza wa Super Cup ya Hispania usiku wa jana. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gerard Pique aliyejifunga dakika ya 50 na Marco Asensio dakika ya 90, wakati la Barca lilifungwa na Lionel Messi dakika ya 77 kwa penalti. Ronaldo alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 82, kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili njano, ya kwanza kwa kuvua shati wakati wa kushangilia na ya pili kwa kujiangusha PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The American nightmare! Birmingham City are staring relegation in the face
after the disastrous hiring and firing of Wayne Rooney in the first season
since the club's Tom Brady-fronted takeover
-
This was sold as the year Birmingham City would embrace the American Dream
but the reality is proving a nightmare as they stare relegation in the face
on t...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment