Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao pili Real Madrid dakika ya 80 kufuatia kuingia akitokea benchi kipindi cha pili timu yake ikishinda 3-1 dhidi ya wenyeji, Barcelona Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa kwanza wa Super Cup ya Hispania usiku wa jana. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gerard Pique aliyejifunga dakika ya 50 na Marco Asensio dakika ya 90, wakati la Barca lilifungwa na Lionel Messi dakika ya 77 kwa penalti. Ronaldo alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 82, kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili njano, ya kwanza kwa kuvua shati wakati wa kushangilia na ya pili kwa kujiangusha PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal star Aaron Ramsey lined up for his first job as a full-time
manager in League One
-
Aaron Ramsey did have a spell in charge as caretaker of Cardiff in 2025
after head coach Omer Riza was relieved of his duties. Ramsey drew two and
lost one...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment