Wachezaji wa Tottenham Hotspur wakimpongeza mwenzao, Toby Alderweireld baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 82 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Paris Saint Germain Uwanja wa Camping World mjini Orlando, Florida, Marekani. Mabao mengine yamefungwa na Christian Eriksen dakika ya 11, Eric Dier dakika ya 18 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 88, wakati ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani dakika ya sita na Javier Pastore dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Terrell Owens' Son Terique, 49ers Agree to UDFA Contract After
2024 Draft
-
The San Francisco 49ers added Missouri State wide receiver Terique Owens,
the son of Hall of Fame receiver Terrell Owens, as an undrafted free agent
on…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment