Nyota wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akimtoka beki wa kulia wa Roma, Mbrazil, Bruno Peres katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Red Bull Arena mjini Harrison, New Jersey, Marekani. Roma imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Diego Perotti dakika ya 13 kwa penalti, Cengiz Under dakika ya 70 na Marco Tumminello dakika ya 90 na ushei, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Winks dakika ya 87 Vincent Janssen dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie football in mourning as Rale Rasic dies after coaching Socceroos to their first World Cup
-
Rale Rasic, the man who famously coached the Socceroos to their first World
Cup in 1974, has died. He was inducted into the Sport Australia Hall of
Fame in...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment