Nyota wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akimtoka beki wa kulia wa Roma, Mbrazil, Bruno Peres katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Red Bull Arena mjini Harrison, New Jersey, Marekani. Roma imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Diego Perotti dakika ya 13 kwa penalti, Cengiz Under dakika ya 70 na Marco Tumminello dakika ya 90 na ushei, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Winks dakika ya 87 Vincent Janssen dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Updated 2024 AEW Dynasty Card and Predictions for Match Order
-
The inaugural AEW Dynasty pay-per-view is set for Sunday, and it will see
nearly every major AEW championship be put on the line. In the likely main
event,…
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment