Winga wa Yanga, Simon Msuva ameposti picha hii kwenye Instagram akisema; "Kwaheri" wakati anaondoka Dar es Salaam jana Morocco kukamilisha mipango ya kujiunga na Difaa Hassan El Jadida ya Ligi Kuu nchini humo. Hiyo ndiyo timu ambayo imemsajili winga mwingine wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' kutoka Azam FC
Beyond asphalt: Katsina’s infrastructure test
-
Infrastructure is often reduced to concrete, asphalt and ceremonial
ribbons. Yet its true value lies elsewhere: in the trader who reaches the
market fast...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment