Winga wa Yanga, Simon Msuva ameposti picha hii kwenye Instagram akisema; "Kwaheri" wakati anaondoka Dar es Salaam jana Morocco kukamilisha mipango ya kujiunga na Difaa Hassan El Jadida ya Ligi Kuu nchini humo. Hiyo ndiyo timu ambayo imemsajili winga mwingine wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' kutoka Azam FC
Kevin De Bruyne is 'better than Gerrard, Lampard, Silva and Toure' and is
No 1 midfielder in Premier League history, claims Jamie Redknapp after
Belgian's ridiculous header from 15 yards
-
Sky Sports pundit Jamie Redknapp believes Kevin De Bruyne's ability to
produce things that are 'out of this world' elevates him to be the best
midfielder i...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment