Winga wa Yanga, Simon Msuva ameposti picha hii kwenye Instagram akisema; "Kwaheri" wakati anaondoka Dar es Salaam jana Morocco kukamilisha mipango ya kujiunga na Difaa Hassan El Jadida ya Ligi Kuu nchini humo. Hiyo ndiyo timu ambayo imemsajili winga mwingine wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' kutoka Azam FC
Ireland deny spirited Wales to keep hopes alive
-
Ireland keep alive their slim hopes of reclaiming the Six Nations title
with a bonus-point victory over spirited Wales in Dublin.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment