Winga anayewaniwa na Manchester United, Ivan Perisic akipiga shuti kuifungia bao la pili Inter Milan dakika ya 53 ikiilaza 2-1 Chelsea Uwanja wa Taifa wa Singapore katika Kombe la Mabingwa wa KImataifa leo. Bao lingine la Inter Milan limefungwa na Stevan Jovetic dakika ya 45 na ushei, wakati la The Blues lilifungwa na Geoffrey Kondogbia aliyejifunga dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Lost' Trent Alexander-Arnold called out by Spanish media after 'incredibly
weak' error gifted Celta Vigo an equaliser amid difficult debut season at
Real Madrid
-
Aurelien Tchouameni had given Real Madrid a lift with his 11th minute
opener at the Estadio Abanca-Balaídos, but Celta soon mustered a response
with Alexan...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment