Winga anayewaniwa na Manchester United, Ivan Perisic akipiga shuti kuifungia bao la pili Inter Milan dakika ya 53 ikiilaza 2-1 Chelsea Uwanja wa Taifa wa Singapore katika Kombe la Mabingwa wa KImataifa leo. Bao lingine la Inter Milan limefungwa na Stevan Jovetic dakika ya 45 na ushei, wakati la The Blues lilifungwa na Geoffrey Kondogbia aliyejifunga dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'I listened to Gary Neville at Anfield'
-
Diego Forlan still finds it hard to appreciate the reaction to his double
strike against Liverpool.
Dakika 6 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni