Winga anayewaniwa na Manchester United, Ivan Perisic akipiga shuti kuifungia bao la pili Inter Milan dakika ya 53 ikiilaza 2-1 Chelsea Uwanja wa Taifa wa Singapore katika Kombe la Mabingwa wa KImataifa leo. Bao lingine la Inter Milan limefungwa na Stevan Jovetic dakika ya 45 na ushei, wakati la The Blues lilifungwa na Geoffrey Kondogbia aliyejifunga dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid's Tchouameni on Man Utd radar
-
Real Madrid's Aurelien Tchouameni is one of the players Man Utd are looking
at to fill their priority central midfield position this summer.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment