Winga anayewaniwa na Manchester United, Ivan Perisic akipiga shuti kuifungia bao la pili Inter Milan dakika ya 53 ikiilaza 2-1 Chelsea Uwanja wa Taifa wa Singapore katika Kombe la Mabingwa wa KImataifa leo. Bao lingine la Inter Milan limefungwa na Stevan Jovetic dakika ya 45 na ushei, wakati la The Blues lilifungwa na Geoffrey Kondogbia aliyejifunga dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft Rumors: Drake Maye Will 'Be No Worse' Than No. 3 Pick amid
Patriots Buzz
-
Less than one week away from the start of the 2024 NFL draft, Drake Maye's
stock appears to be trending up. Per ESPN's Matt Miller, the feeling among
people…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment