Mchezaji mpya, Alexandre Lacazette aliyesajiliwa kwa dau la rekodi, Pauni Milioni 52 kutoka Lyon akizungumza na mchezaji mwenzake wa Ufaransa, Francis Coquelin wakati wa mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na msimu mpya leo Uwanja wa Emirates. Arsenal wataanza na Ngao ya Jamii dhidi ya Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Chelsea block Maresca move, seek compensation from Man City
-
Manchester City’s pursuit of Enzo Maresca as a potential successor to Pep
Guardiola has been complicated by a compensation dispute with Chelsea.
The post...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment