• HABARI MPYA

    Friday, July 28, 2017

    LACAZETTE ANAPOYAJENGA NA MFARANSA MWENZKE MAZOEZINI ARSENAL

    Mchezaji mpya, Alexandre Lacazette aliyesajiliwa kwa dau la rekodi, Pauni Milioni 52 kutoka Lyon akizungumza na mchezaji mwenzake wa Ufaransa, Francis Coquelin wakati wa mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na msimu mpya leo Uwanja wa Emirates. Arsenal wataanza na Ngao ya Jamii dhidi ya Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LACAZETTE ANAPOYAJENGA NA MFARANSA MWENZKE MAZOEZINI ARSENAL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top