Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police arrest 345 suspects, recover 270 dangerous weapons in Kano
-
From Desmond Mgboh, Kano The Nigeria Police in Kano State have arrested a
total of 345 suspected criminals, consisting of suspected thugs, drug
peddlers ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment