Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-NFL quarterback Johnny Manziel and new girlfriend Josie Canseco -
daughter of baseball legend Jose - make their relationship Instagram
official... as the couple share loved-up pictures at Stagecoach music
festival
-
Former NFL quarterback Johnny Manziel and model Josie Canseco have
confirmed their relationship on social medial, with the couple seen in
loved-up photos t...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment