Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LA Rams Super Bowl winner Darious Williams retires at 32 after eight
seasons in the NFL
-
The veteran cornerback, who is set to turn 33 later this month, was placed
on the reserve/retired list by the Los Angeles Rams before his retirement
was co...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment