Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'You feel like your legs go to jelly': SAM COOK on what went wrong on his
England debut last year, what he's learned and why he's ready to seize back
a Test place this summer
-
It is not quite a year since Sam Cook won his lone Test cap. But as well as
being a little older, he is also wiser. Having tried too hard back then, he
is ...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment