Frank Kessie akishangilia na mchezaji mwenzake, Patrick Cutrone baada ya wote kufunga katika ushindi wa AC Milan wa 4-0 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana Uwanja wa Shenzhen Universiade Sports Centre mjini Shenzhen katika mchezo wa kirafiki. Kessie alifunga dakika ya 14, Cutrone dakika za 25 na 43, wakati bao la nne lilifungwa na Hakan Calhanoglu dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria angry over treatment of citizens in South Africa as evacuation
begins soon
-
Federal Government has voiced strong displeasure over how Nigerians in
South Africa are being treated, even as arrangements to evacuate those who
want to...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment