• HABARI MPYA

    Friday, July 28, 2017

    YANGA 'WALIVYOKIWASHA' LEO MOROGORO KWA HASIRA ZOTE

    Mshambuliaji mpya kutoka Simba, Ibrahim Ajib akikimbia kwenye mazoezi ya timu yake mpya, Yanga katika kambi yao ya Morogoro kujiandaa na msimu mpya 
    Wachezaji wa Yanga wakinyoosha viungo kwenye mazoezi yao leo
    Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini leo mjini Morogoro
    Kiungo Juma Mahadhi anayeingia katika msimu wake wa pili tangu asajiliwe kutoka Coastal Union
    Beki Andrew Vincent 'Dante' anayeingia kwenye msimu wake wa pili pia tangu asajiliwe kutoka Mtibwa Sugar
    Mabeki wa muda mrefu, Kevin Yondan (kulia) na Juma Abdul (kushoto) wakijifua mjini Morogoro
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA 'WALIVYOKIWASHA' LEO MOROGORO KWA HASIRA ZOTE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top