Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akiifungia bao la kusawazisha timu yake dakika ya 24 ikitoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 5-2 dhidi ya Benfica ya Ureno katika mchezo wa Kombe la Emirates leo. Walcott alifunga pia la pili dakika ya 32, wakati mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Lisandro Lopez aliyejifunga dakika ya 52 na Olivier Giroud dakika ya 74 na Alex Iwobi dakika ya 70 na mabao ya Benfica yamefungwa na Franco Cervi dakika ya 11 na Eduardo Salvio dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alphonso Davies 'is nearing a summer move to Real Madrid amid contract
standoff with Bayern Munich'... as the player's agent slams the club's
negotiating tactics after 'attacks' on the player
-
Alphonso Davies has been issued with a contract ultimatum by Bayern Munich,
with the player's representative hitting out at the club for their 'unfair'
neg...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment