Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akiifungia bao la kusawazisha timu yake dakika ya 24 ikitoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 5-2 dhidi ya Benfica ya Ureno katika mchezo wa Kombe la Emirates leo. Walcott alifunga pia la pili dakika ya 32, wakati mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Lisandro Lopez aliyejifunga dakika ya 52 na Olivier Giroud dakika ya 74 na Alex Iwobi dakika ya 70 na mabao ya Benfica yamefungwa na Franco Cervi dakika ya 11 na Eduardo Salvio dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Lost' Trent Alexander-Arnold called out by Spanish media after 'incredibly
weak' error gifted Celta Vigo an equaliser amid difficult debut season at
Real Madrid
-
Aurelien Tchouameni had given Real Madrid a lift with his 11th minute
opener at the Estadio Abanca-Balaídos, but Celta soon mustered a response
with Alexan...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment