Wachezaji wa PSG wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Ufaransa baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Monaco usiku wa jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger mjini Tanger. Mabao ya PSG yalifungwa na Dani Alves dakika ya 51 na Adrien Rabiot dakika ya 63, baada ya Djibril Sidibe kuifungia bao la kuongoza Monaco dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Chelsea block Maresca move, seek compensation from Man City
-
Manchester City’s pursuit of Enzo Maresca as a potential successor to Pep
Guardiola has been complicated by a compensation dispute with Chelsea.
The post...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment