Mshambuliaji mpya wa Arsenal, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao dakika ya 62 katika kipigo cha 2-1 kutoka kwa Sevilla kwenye mchezo wa Kombe la Emirates, Uwanja wa Emirates mjini London. Mabao ya Sevilla yamefungwa na Joaquin Correa dakika ya 49 na Steven N'Zonzi dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria angry over treatment of citizens in South Africa as evacuation
begins soon
-
Federal Government has voiced strong displeasure over how Nigerians in
South Africa are being treated, even as arrangements to evacuate those who
want to...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment