Mshambuliaji mpya wa Arsenal, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao dakika ya 62 katika kipigo cha 2-1 kutoka kwa Sevilla kwenye mchezo wa Kombe la Emirates, Uwanja wa Emirates mjini London. Mabao ya Sevilla yamefungwa na Joaquin Correa dakika ya 49 na Steven N'Zonzi dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid's Tchouameni on Man Utd radar
-
Real Madrid's Aurelien Tchouameni is one of the players Man Utd are looking
at to fill their priority central midfield position this summer.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment