Kinda wa Manchester City, Brahim Diaz akiwa amezingirwa na wenzake kumpongeza baada ya kufunga bao la nne dakika ya 81 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya mabingwa wa Ulaya, Real Madrid Alfajiri ya leo Uwanja wa Los Angeles Memorial Coliseum mjini Los Angeles, California, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Mabao mengine ya timu ya kocha Pep Guardiola yamefungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 52, Raheem Sterling dakika ya 59 na John Stones dakika ya 67, wakati la timu ya kocha Zinadine Zidane limefungwa na Oscar Rodriguez dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions stars have 'split up with their partners due to what
happened on end-of-season trip to Las Vegas'
-
The Lions went undefeated at the Gabba for the entire 2023 season but have
already lost two home matches this year, leaving fans scratching their
heads ove...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment