Mohamed Salah akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Hertha Berlin leo Uwanja wa Olympia Berlin mjini Berlin, Ujerumani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Dominic Solanke dakika ya 15 na Georginio Wijnaldum dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bitcoin jumps to $78,000 as Trump extends Iran ceasefire
-
Bitcoin jumped to its highest level since early February as Trump extended
a ceasefire with Iran.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment