Mohamed Salah akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Hertha Berlin leo Uwanja wa Olympia Berlin mjini Berlin, Ujerumani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Dominic Solanke dakika ya 15 na Georginio Wijnaldum dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FDA OKs first new sunscreen ingredient in more than 25 years
-
WASHINGTON (AP) — Federal health regulators on Tuesday signed off on the
first new sunscreen ingredient for the U.S. market in more than 25 years,
giving A...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment