Mohamed Salah akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Hertha Berlin leo Uwanja wa Olympia Berlin mjini Berlin, Ujerumani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Dominic Solanke dakika ya 15 na Georginio Wijnaldum dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tory plans to remove foreign nationals’ right to social housing slammed
-
Around 230,000 homes would become available under the controversial
proposal unveiled by the Conservatives
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment