Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Javier Hernandez 'Chicharito' akiwa ameshika jezi ya West Ham United baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 16 kutoka Bayer Leverkusen ya Ujerumani akisaini mkataba wa miaka mitatu na atakuwa analipwa Pauni 140,000 kwa wiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Chelsea block Maresca move, seek compensation from Man City
-
Manchester City’s pursuit of Enzo Maresca as a potential successor to Pep
Guardiola has been complicated by a compensation dispute with Chelsea.
The post...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment