Gerard Pique akiifungia bao la ushindi Barcelona dakika ya 50 ikiilaza 3-2 Real Madrid katika mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Hard Rock mjini Miami, Marekani. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Lionel Messi dakika ya tatu na Ivan Rakitic dakika ya saba, wakati ya Real yamefungwa na Mateo Kovacic dakika ya 14 na Marco Asensio dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Commended by Fans After Tyler Guyton Pick, Trade Back in 2024 NFL
Draft
-
The Dallas Cowboys used their first-round pick of Thursday's NFL draft to
take Oklahoma offensive tackle Tyler Guyton. The Cowboys originally had the
24th…
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment