Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Romelu Lukaku aliyesajiliwa kwa dau la Pauni Milioni 75 kutoka Everton akisaini jezi ya shabiki wa timu hiyo baada ya kuwasili mjini Manchester leo wakitokea Marekani ambako walikwenda kuweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya pamoja na kucheza mechi za kujipima nguvu za mashindano ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bitcoin jumps to $78,000 as Trump extends Iran ceasefire
-
Bitcoin jumped to its highest level since early February as Trump extended
a ceasefire with Iran.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment