SINGANO ATOKEA BENCHI TIMU YAKE YACHAPWA 3-0 MOROCCO
Winga wa kimataifa wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' (kushoto) juzi alitokea benchi kuichezea timu yake mpya, Difaa Hassan El Jadida ya Morocco ikifungwa 3-0 nyumbani na Olympic Club de Safi (OCS) katika mchezo wa kirafiki
Kikosi kilichoanza hapa Messi aliyejiunga na timu hiyo kutoka Azam FC ya Dar es Salaam hayupo
Recall Beta Edu
-
It has been all of two years and eight months since President Bola Tinubu
suspended Dr. Beta Edu from her plum job as Minister for Humanitarian
Affairs ...
0 comments:
Post a Comment