Bakary Sako akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la pili dakika ya 43 ikiilaza 2-0 West Brom katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Bao la kwanza la Palace limefungwa naLuka Milivojevic dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
J.J. McCarthy Rumors: Vikings 'Extremely Wary About Rushing' QB After NFL
Draft 2024
-
The Minnesota Vikings will be cautious with quarterback J.J. McCarthy
throughout his rookie season. According to ESPN's Kevin Seifert, the
Vikings are…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment