Bakary Sako akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la pili dakika ya 43 ikiilaza 2-0 West Brom katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Bao la kwanza la Palace limefungwa naLuka Milivojevic dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sergiño Dest appears likely to miss US pre-World Cup friendlies against
Belgium and Portugal
-
Sergiño Dest appears likely to miss the United States' pre-World Cup
friendlies against Belgium and Portugal this month because a leg injury.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment