Bakary Sako akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la pili dakika ya 43 ikiilaza 2-0 West Brom katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Bao la kwanza la Palace limefungwa naLuka Milivojevic dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
India youth protest leaders to hold talks with government but protests will
continue
-
By Saurabh Sharma, Anushree Fadnavis and YP Rajesh NEW DELHI, July 24
(Reuters) - Leaders of India's youth-led "cockroach" movement will meet the
governmen...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment