Bakary Sako akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la pili dakika ya 43 ikiilaza 2-0 West Brom katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Bao la kwanza la Palace limefungwa naLuka Milivojevic dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beyond asphalt: Katsina’s infrastructure test
-
Infrastructure is often reduced to concrete, asphalt and ceremonial
ribbons. Yet its true value lies elsewhere: in the trader who reaches the
market fast...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment