Winga Mmisri Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 20 kufuatia Mualgeria Islam Slimani kuifungia la kuongoza Leicester City dakika ya 12 katika mchezo wa fainali ya Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Liverpool ilishinda 2-1, bao lake la ushindi likifungwa na Mbrazil Philippe Coutinho dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump to deliver remarks to crypto conference on Saturday, White House says
-
WASHINGTON, April 23 (Reuters) - U. President Donald Trump will deliver
remarks to a cryptocurrency conference on Saturday in Palm Beach,
Florida, the Wh...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment