Winga Mmisri Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 20 kufuatia Mualgeria Islam Slimani kuifungia la kuongoza Leicester City dakika ya 12 katika mchezo wa fainali ya Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Liverpool ilishinda 2-1, bao lake la ushindi likifungwa na Mbrazil Philippe Coutinho dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luton 1-1 Everton: Hosts miss chance to move out of bottom three despite
claiming a precious point as Elijah Adebayo's clinical strike cancels
out Dominic Calvert-Lewin's spot kick
-
KIERAN GILL AT KENILWORTH ROAD: Luton did what they could but this was a
draw which brought little relief to their disadvantaged position in the
Premier Le...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment