Kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (wa pili kulia) akiwa na wachezaji wa Tanzania anaocheza nao Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kipa Said Mohammed Nduda (kulia), beki Hassan Kessy na winga Simon Msuva kushoto kwake baada ya kukutana mjini Kigali, Rwanda Jumamosi, timu za taifa za nchi hizo zilimenyana na kutoa sare ya 0-0.
Manchester United trio resume training ahead of Europa League decider
-
Manchester United have been handed a massive injury boost with Marcus
Rashford, Luke Shaw and Jadon Sancho returning to training ahead of their
season fina...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni