Winga wa Yanga, Simon Msuva akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuchanika juu ya jicho la kushoto wakati akiifungia timu yake bao la kwanza dakika ya saba katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Hapa ndipo Msuva alipoumia wakati anapiga kichwa kufunga aligongana na beki wa Mbeya City, Tumba Lui Swedi
Wachezaji wa Yanga wakiwaita watu wa huduma ya kwanza kuja kumsaidia Simon Msuva baada ya kuanguka chini
Wachezaji wengine wa Yanga wakimsaidia Msuva, huku wengine wakiwaita watu wa huduma ya kwanza
Hapa Msuva anatolewa nje ya Uwanja, kabla ya kupelekwa kwenye zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa kwa matibabu zaidi
Alikuwa akipelekwa huku akifutwa damu kwenye jeraha lake
Hapa Msuva akiwa kwenye Zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa baada ya matibabu na kushonwa nyuzi nne kwenye jeraha lake
Max Verstappen says Adrian Newey's shock departure will NOT impact his
future at Red Bull for 'the moment'
-
The reigning world champion addressed speculation he's reconsidering his
future at the team ahead of the Miami Grand Prix Thursday after news broke
of Newe...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment