Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (katikati) akipongezwa na wenzake, Luis Suarez (kulia) na Neymar Jr. (kushoto) baada ya Alexis Ruano wa Alaves kujifunga dakika ya 63 kuipatia Barca bao la nne katika ushindi wa 6-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Mendizorroza, Vitoria-Gasteiz leo. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Suarez mawili dakika za 37 na 67, Neymar dakika ya 40, Messi dakika ya 59 na Ivan Rakitic dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wike slams Fubara for seeking second term, says form collection broke
impeachment truce
-
• says remodeling of Abuja city gate brainchild of First Lady From Juliana
Taiwo-Obalonye, Abuja Minister of the Federal Capital Territory (FCT),
Nyesom ...
10 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment