Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (katikati) akipongezwa na wenzake, Luis Suarez (kulia) na Neymar Jr. (kushoto) baada ya Alexis Ruano wa Alaves kujifunga dakika ya 63 kuipatia Barca bao la nne katika ushindi wa 6-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Mendizorroza, Vitoria-Gasteiz leo. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Suarez mawili dakika za 37 na 67, Neymar dakika ya 40, Messi dakika ya 59 na Ivan Rakitic dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jarvis Landry to Join Jaguars' Rookie Camp amid Injury Rehab as WR Eyes
Landing Spot
-
Veteran wide receiver Jarvis Landry will attend Jacksonville Jaguars rookie
minicamp this week as he attempts to make a comeback. Landry went unsigned
during…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment