Quincy Promes (katikati) akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za 15 na 31 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Belarus usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjini Rotterdam kwenye mchezo wa Kundi A. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Davy Klaassen dakika ya 55 na Vincent Janssen dakika ya 64, wakati la Belarus lilifungwa na Alexei Rios PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal star Ben White caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper
Guglielmo Vicario just seconds before the Gunners go ahead in the north
London derby
-
Ben White has been caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper Guglielmo
Vicario from the corner that put Arsenal ahead in the north London derby.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment