• HABARI MPYA

    Monday, March 18, 2013

    PROGRAMU YA STARS DHIDI YA MOROCCO HII HAPA, WAARABU HAWATOKI WALLAHI

    Salum Abubakar 'Sure Boy' mbele ya Thomas Ulimwengu

    TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars itacheza mechi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwaka nchini Brazil dhidi ya Morocco Jumapili wiki hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

    HII NDIYO PROGRAMU KAMILI YA MAANDALIZI YA MECHI HIYO;
    Jumamosi, Machi 16- Wachezaji kuanza kuripoti kambini
    Jumapili, Machi 17- Mazoezi Uwanja wa Karume- Saa 2 asubuhi
    Jumatatu, Machi 18- Mazoezi Uwanja wa Karume- Saa 9 alasiri
    Jumanne, Machi 19- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 9 alasiri
    Jumatano, Machi 20- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 2 asub na saa 9 alasiri
    Alhamisi, Machi 21- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 9 alasiri
    Ijumaa, Machi 22- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 9 alasiri
    Jumamosi, Machi 23- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 10.30 jioni
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: PROGRAMU YA STARS DHIDI YA MOROCCO HII HAPA, WAARABU HAWATOKI WALLAHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top