• HABARI MPYA

    Thursday, March 21, 2013

    BALOTELLI NA WENZAKE WAPIGWA NA RADI


    Timu ya taifa ya Italia ilipigwa naradi wakati ikielekea Geneva, Uswiss kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidid ya Brazil, leo.
    Wachezaji na viongozi wa timu hiyo walishangazwa na kilichotokea katika ndege yao hiyo kutoka Florence, Italia, lakini hakuna aliyedhurika.
    Wahudumu wa kwenye ndege waliwatuliza wachezaji akiwemo Mario Balotelli, Andrea Pirlo na Stephan El Shaarawy – kwa kuwaeleza ilikuwa ni radi na hakukuwa na hatari.

    Shaken: Mario Balotelli and Cesar Prandelli training after the lightning strike
    Wametikiswa: Mario Balotelli na Cesar Prandelli wakiwa mazoezini baada ya radi
    I don't believe you: Prandelli challenged any of his squad to claim that they weren't afraid
    Sikuamiani: Prandelli aliwabishia wachezaji wake ambao walidai kuwa hawakuingiwa na hofu

    Kocha wa Italia, Cesare Prandelli alisema: “Kwa kweli ilitia hofu na nilimbishia kila aliyedai kwamba hakuogopa. Iliwahi kunitokea hapo kabla lakini siyo kwa ukubwa huu.
    Rubani Roberto Andolfato aliiambia Sky Sport: “Hali ilikuwa imedhibitiwa.”

    Samba style: Andrea Pirlo (right) leads the way as Italy prepare to face Brazil
    Staili ya Samba: Andrea Pirlo (kulia) akiongoza mazoezi ya Italia inayojiandaa na kukutana na Brazil
    Samba style: Italy prepare to face Brazil
    Prandelli aliiambia figc.it: “Natakiwa kujiandaa vizuri kwa ajili ya mechi bila kuwapa faida yoyote Brazil.”
    Chit chat: Brazilian forward Neymar (left) talks to fellow striker Fred during a training session on Wednesday

    Gumzo kwa chat: Mshambuliaji wa Brazil, Neymar (kushoto) akipiga stori na Fred wakati wa mazoezi ya timu hiyo jana.
    Safe hands: Julio Cesar trains away from the outfield players as Brazil ready themselves for the clash
    Mkono salama: Julio Cesar akiwa mazoezini
    Ring ding: Brazil players stand around the centre-circle

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BALOTELLI NA WENZAKE WAPIGWA NA RADI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top