Kipa wa Mwadui FC, Shaaba Kado akimuangusha mshambuliaji wa Simba, Shizza Kichuya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tukio liliwapa Simba penalti na Kichuya mwenyewe akaenda kufunga bao la kwanza katika ushindi wa 2-1
Kiungio wa Mwadui FC Abdallah Seseme akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Simba, Said Ndemla
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Pastory Athanas akimtoka beki wa Mwadui FC
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kushoto) akimiliki mpira dhidi ya mchezaji wa Mwadui
Kikosi cha Simba kwenye mchezo wa jana
Kikosi cha Mwadui FC kwenye mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Jurgen Klopp breaks silence on Arne Slot's impending move to Liverpool as
outgoing Anfield boss calls role 'the best job in the world' ahead of his
emotional exit
-
LEWIS STEELE: Mail Sport understands that Liverpool and the Feyenoord boss
are in advanced negotiation stages and a deal for Slot to join the club
could be...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment