Beki mpya wa Kagera Sugar, Juma Said Nyosso (kulia) akikimbia kwenye mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Kiungo mshambuliaji Ame Ally 'Zungu' akikimbia kwenye mazoezi ye leo Karume
Beki anayeweza kucheza kama kiungo pia, Japhet Makalai akiondoka na mpira
Kiungo mpya, Peter Mwalyanzi akipasua na mpira katikati ya wachezaji wenzake
Wachezaji wa Kagera Sugar wakiongozwa na kipa mkongwe, Juma Kaseja wakikimbia mazoezini leo
Jordan Travis NFL Draft 2024: Scouting Report for New York Jets QB
-
HEIGHT: 6'1" WEIGHT: 200 HAND: 9" ARM: 31⅜" WINGSPAN: 76" 40-YARD DASH: N/A
3-CONE: N/A SHUTTLE: N/A VERTICAL: N/A BROAD: N/A POSITIVES — Above-average…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment