Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Abbas Tarimba akimkabidhi mfano wa hundi ya malipo ya Sh Milioni 50 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe jana, ikiwa ni kutimiza ahadi ya kuichangia timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys katika ushiriki wake wa Fainali za Afrika nchini Gabon, michuano inayotarajiwa kuanza Jumapili nchini humo.
He played one game for Tottenham EVER and it came against Arsenal in the
north London derby. Spurs ended up losing 4-1 - can you guess who he is?
-
It is set to be a red-hot atmosphere at the Tottenham Hotspur Stadium on
Sunday, and could come down to which of the two young teams can keep their
heads u...
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment