Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Abbas Tarimba akimkabidhi mfano wa hundi ya malipo ya Sh Milioni 50 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe jana, ikiwa ni kutimiza ahadi ya kuichangia timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys katika ushiriki wake wa Fainali za Afrika nchini Gabon, michuano inayotarajiwa kuanza Jumapili nchini humo.
How long is Ayo Dosunmu out? Timberwolves guard to miss Game 6 vs. Nuggets
with calf injury
-
Here's the latest on Dosunmu's status on Thursday night.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment