Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Abbas Tarimba akimkabidhi mfano wa hundi ya malipo ya Sh Milioni 50 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe jana, ikiwa ni kutimiza ahadi ya kuichangia timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys katika ushiriki wake wa Fainali za Afrika nchini Gabon, michuano inayotarajiwa kuanza Jumapili nchini humo.
Puka Nacua puts antisemitic controversy behind him with touchdown on
Thursday Night Football... and there's no sign of THAT celebration
-
The Rams superstar sparked fury on a livestream with Adin Ross and N3on
earlier in the week, in which he devised a touchdown dance which included
an offens...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment