Shabiki wa Yanga (kulia) akiwa amebandika nembo ya klabu kwenye shati na kofia yake kudhihirisha mapenzi yake kwa klabu hiyo wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar Jumanne wiki hii. Ubunifu wa shabiki huyu unawaonyesha viongozi wa Yanga namna wanavyoshindwa kuitumia nembo ya klabu hiyo kibiashara, kwani wangeweza kutengeneza bidhaa mbalimbali hususan mavazi yenye nembo hiyo na Yanga ingenufaika kifedha.
Man City go six points clear as Bristol City relegated
-
Mary Fowler's second-half double helps Manchester City beat Bristol City to
move six points clear at the Women's Super League summit and confirms the
Robin...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment