Shabiki wa Yanga (kulia) akiwa amebandika nembo ya klabu kwenye shati na kofia yake kudhihirisha mapenzi yake kwa klabu hiyo wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar Jumanne wiki hii. Ubunifu wa shabiki huyu unawaonyesha viongozi wa Yanga namna wanavyoshindwa kuitumia nembo ya klabu hiyo kibiashara, kwani wangeweza kutengeneza bidhaa mbalimbali hususan mavazi yenye nembo hiyo na Yanga ingenufaika kifedha.
Jake Paul's jaw is broken in Anthony Joshua battering:
YouTuber-turned-boxer rushes to hospital
-
Jake Paul drove himself to hospital with a suspected broken jaw after his
knockout defeat by Anthony Joshua.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment