Sehemu ya nyumba aliyonunua kiungo wa Manchester United, Mfaransa Paul Pogba kwa bei ya Pauni Milioni 2.9 mjini Cheshire. Nyumba hiyo kubwa, nzuri yenye vyumba vitano vya kulala, bwawa la ndani la kuogelea, sauna na chumba cha habari, inaaminika ilikuwa ya mchezaji wa zamani wa Man United, mshambuliaji Javier Hernandez 'Chicharito' ambaye kwa sasa anachezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo steps up again but Martínez will be wary over World Cup
role
-
The face of the Saudi Pro League was vital as Al-Nassr won the title but
will need to be a team player for Portugal
26 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment