Sehemu ya nyumba aliyonunua kiungo wa Manchester United, Mfaransa Paul Pogba kwa bei ya Pauni Milioni 2.9 mjini Cheshire. Nyumba hiyo kubwa, nzuri yenye vyumba vitano vya kulala, bwawa la ndani la kuogelea, sauna na chumba cha habari, inaaminika ilikuwa ya mchezaji wa zamani wa Man United, mshambuliaji Javier Hernandez 'Chicharito' ambaye kwa sasa anachezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paige Spiranac reveals professional golf 'beat me up emotionally' as she
opens up on bid to return to playing competitively again
-
Spiranac, 31, had a short-lived professional career as a player from
2016-17 before embarking on her social media journey, where she's amassed
four million...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment