Washambuliaji Luis Suarez (kulia) na Lionel Messi (kushoto) wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-1 wa Barcelona dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Suarez alifunga dakika ya saba akimalizia pasi ya Javier Mascherano na Messi dakika ya 33 akimalizia pasi ya Ivan Rakitic, kabla Antoine Griezmann kuifungia Atletico dakika ya 59 akimalizia pasi ya Diego Godin. Barcelona sasa watakuwa wenyeji wa Atletico Madrid katika mchezo wa marudiano Jumanne Uwanja wa Nou Camp PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The MCC are 'investigating a misappropriation of funds' after their 2023
financial accounts revealed 'money had gone missing'... as cricket club
announce record income after enthralling Lord's Ashes Test
-
The news broke during the MCC's annual general meeting at Lord's on
Wednesday afternoon, with reports claiming that probe relates to 'money
that has gone m...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment