Leroy Sane akimrukia mgongoni mkongwe, Yaya Toure kumpongeza baada ya kufunga bao la nne kwa penalti dakika ya 67 Manchester City ikiwachapa 4-0 wenyeji, West Ham United usiku wa jana Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yalifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 17, David Silva dakika ya 21 na Gabriel Jesus dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luke Littler could RETIRE from darts in 'five years', claims Premier League
rival who doubted him... as the teenage sensation is tipped to become the
'greatest of all time' in the sport
-
The 17-year-old produced another top-drawer display as he swept past Joe
Cullen 8-4 in the Austrian Open final this week. It was a second PDC
European Tour...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment